background preloader

Walaafadaa

Facebook Twitter

Walaafadaa

Suali: Nguzo za Swala ni ngapi? Jawabu: Nguzo za Swala ni 14 nazo ni kama zifuatavyo: 1. Kutia Nia Na nia Mahala pake ni moyoni na wala haikushurutizwa kuitamka kwa ulimi katika kuithibitisha nia nakufanya hivyo ni kukhalifu Sunna ya Bwana Mtume. Na dilili ya nia ni neno lake Mtume ﷺ:

Semina ya hukumu za hijji na umra. Kusajili katika semina ya hukumu za hijji na umra. Masharti ya kufanya Swala iwe sahihi- Al-fiqhi. Kwanza: kuingia wakati Swala ya faradhi ina wakati ambao haiswihi kabla yake, wala baada yake isipokuwa kwa dharura.

Masharti ya kufanya Swala iwe sahihi- Al-fiqhi

Asema Mwenyezi Mungu aliyetukuka: { Hakika Swala kwa Waumini ni faradhi iliyo wekewa nyakati maalum} [4: 103], yaani imefaradhiwa katika vipindi maalumu. Adhana na Ikama-swalah katika uislamu. Maana ya Adhana na Ikama Ni kujulisha kuingia wakati wa Swala kwa kuleta maneno maalumu ya dhikiri.

Adhana na Ikama-swalah katika uislamu

Ni kujulisha kuanza kuswaliwa kwa kuleta maneno maalumu ya dhikiri. Hukumu ya kuadhini na kukimu. Swalah katika uislamu. SISENI NI AKIN ATI MAA SỌ ODODO , ATI KIKILỌ IRỌ PIPA FUN NI. በአላህ ላይ ተስፋ ማድረግ (ረጃእ) ፦ ከአላህﷻ ከስሞቹና ከባሕርያቱ ጋር መኖር ፦ የአላህ ስሞችና ባሕሪያት. በሥዕል የተደገፈ የዕባዳዎች አፈጻጸም ፍቅህ. Swala ya Kuomba Mvua- Al-fiqhi. Maana ya Swala ya kuomba Mvua Ni kuomba kunyeshe mvua, kutoka kwa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, kipindi cha ukame na uchache wa mvua.

Swala ya Kuomba Mvua- Al-fiqhi

Dalili ya Usheria wa Swalah ya Kuomba Mvua Swalah ya kuomba mvua ni sunnah iliyotiliwa mkazo kwa kitendo cha Mtume ﷺ, kama ilivyo kwenye hadithi iliyopokelewa na Abdullah bin Zaid t kwamba Mtume ﷺ alitoka kwenda kwenye kiwanja cha kuswali akaomba mvua, akaelekea Kibla, akageuza kishali chake na akaswali rakaa mbili) [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]. Wakati wa Swala ya Kuomba Mvua. SWALA YAKUPATIKANA MWEZI NA JUA. WasifuJua na Mwezi ni miongoni mwa alama za Mwenyezi Mungu (SW) hupatw kwa uwezo wake,na kuenyesha nguvu za mwenyezi mungu kwa viumbe vyake, ili warejee kwake na watubie maasia waliyoyafanya.

SWALA YAKUPATIKANA MWEZI NA JUA

Na amewawekea kwa huko kupatwa jua au mwezi Swala ili wapate kurudi kwa Mwenyezi Mungu (SW) , waombe msada kwake awaondolee balaa hiyo. Usiku na mchana kupishana ni miujiza ya Allâh ili mwanaadamu anufaike nayo, na Akajaalia iwe chini ya utumishi wake. Hakuna anayeweza kukhalifu kanuni ya mwendo wa jua na mwezi isipokuwa Allâh (Subhaanahu wa Taala) Peke Yake. Sababu za kimaumbile, Waumini na makafiri wote wanaikubali. MNASABA WA MWAKA MPYA. WasifuSiku zinapita na miaka yaenda mbio.

MNASABA WA MWAKA MPYA

Miongoni watu kuna wanao jikurubisha kwa mwenyezi mungu kwa ibada, na kuna wengine wanao jiweka mbali nayeye. Na kila mwaka ukimpita mtu, unatoa ushahidi kwa maslahi yake au dhidi yake. Swala ya Kuomba Mvua- Al-fiqhi. MINBARI YA ULIMWENGU. Kunapojifita kumuamini Allah. Kuamini Allah Ni Mwanzo WA Mabadiliko Kwenye Maisha Ya Ubiniadamu Kutoka Kwenye Utumwa Mbalimbali Kwenda Kwenye Kumuabudu Mwenye Kustahiki Kuabudiwa Mwenyeezzi Mungu Mtukufu Mshindi Asema, Filip Naytka, Mlinganizi WA Kifo Cha Huruma Huko Astralia.

Kunapojifita kumuamini Allah

“Kifaa Cha Kujinyonga Kinacho Julikana Kwa Jina La (Mkoba Wakutoka) Ambacho Kinauzwa Sana Kwenye Miji Mbalimbali.” Ambacho Thamani Yake Yakaribia Dola 30 Za Marekani Na Huja Na Kikoba Maalum Kilichotengezwa Kutokana Na Plastiki Ili Itoe Uhai Wa Mtu Kwa Njia Ya Kujinyonga. Akaeka Wazi Fillip Katika Redio Moja Mjini Astralia Kwamba Hiko Kifaa Kinaonekana Ni Cha Huzni Kwa Kiyasi Fulani, Lakini Kina Nguvu Katika Kutoa Roho. Mafundisho na Tawhid. Koyar Da Ibada A Cikin Hotuna. Sehemu ya Ibada _FADHLA ZA SIKU KUMI ZA MWEZI WA MFUNGO TATU. WasifuZama zenye baraka zaidi ni kumi la mwanzo la Mfungotatu, kwani lina daraja kubwa kwa Mwenyezi Mngu (SW) inayo onesha kuwa Analipenda na analipa daraja kubwa.

Sehemu ya Ibada _FADHLA ZA SIKU KUMI ZA MWEZI WA MFUNGO TATU

Kumi hilo ni la masiku yenye baraka, yenye mema mengi, yenye maovu machache, yenye daraja za juu, aina mbalimbali ya mambo ya utiifu. Mwenyezi Mungu Ameyaapia masiku hayo, na Yeye Aliyetukuka haliapiijambo isipokuwa jambo kubwa. Sehemu ya Ibada_ ZAKA NA HUKMU YAKE. WasifuMaana ya ibada katika sheria ya Kiislamu ni mapana na inaingia ndani yake kila jema la kidini na la kidunia.

Sehemu ya Ibada_ ZAKA NA HUKMU YAKE

Hakika ya ibada ni jina linalokusanya maneno na matendo yote Anayoyapenda Mwenyezi Mngu na kuridhika nayo. Muislamu katika dunia hii anajua kikweli kuwa yeye ni mja wa Mwenyezi Mngu uja wa kikweli. Anajighulisha kufikia uja huo kama inavyotakiwa ili awe ni mja wa kikweli wa Mola wake. Utukufu wake na ubora wake ni kuwa mja wa Mwenyezi Mngu, akufuata amri Zake na kujiepusha na makatazo Yake katika kila mamabo ya Dini yake na dunia yake. Allah (Subhaanahu wa Taala) kwa hikma yake amewakunjulia baadhi ya waja riziki na wengine akawabania, na sio dalili ya kupendwa na Mwenyezi Mungu ukiwa umekunjuliwa riziki wala sio kuchukiwa ikiwa umebaniwa riziki.

Sehemu ya Ibada _KUJIANDAA NA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI. WasifuMwezi wa Ramadhani ni mwezi mtukufu.

Sehemu ya Ibada _KUJIANDAA NA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI

Katika mwezi huu milango ya Pepo inafunguliwa na milango ya Moto inafungwa.Ni mwezi ulio bora kuliko miezi mingine. Katika mwezi huo, Mwenyezi Mungu Amewaneemesha waja Wake kwa kuwafungulia mlango wa matarajio kwa kuachwa huru na Moto. Mwenyezi Mungu, kila usiku miongoni mwa masiku ya Ramadhani, ana waachwa huru wajawake na Moto. Basi yapasa kwa Waumini wajitayarishe nayo na kujianda kupokeya kwa amali njema,wala sio kupokeya kwa masiya. Sehemu ya Ibada _FADHLA ZA SIKU KUMI ZA MWEZI WA MFUNGO TATU. MISINGI YA DA’WAH YA MITUMEtovuti- Njia ya saada. Miujiza na Dalili za utume na risala - Njia ya saada. UKWELI WA UTUME NA UJUMBE WAKE- Njia ya saada "

Kila Mtume ni katika ndimi ya watu aliotumiwa Miongoni mwa hekima ya Allah Ta’ala ni kuwa kila Mtume ni miongoni mwa jinsi ya watu anaowatumia Mtume, Allah amesema: “Nasi hatukuwatuma kabla yako ila watu wanaume tulio wapa Wahyi (Ufunuo)….” (16:43) Na azungumze kwa lugha ya watu wake ili wafahamu maneno yake, na maana yake, Allah amesema: “Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia.

Basi Mwenyezi Mungu humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima. ” (14:4) JE, WATU WANA HAJA NA MITUME?_njia ya saada. Uchovu wa akili Mwenyezi Mungu ameumba viumbe wake katika umbile (fitra) sahihi, na akawawekea akili ili waweze kupambanua baina ya haki kwenye batili, na kwa sababu akili za wanadamu zina mapungufu na udhaifu, matamanio na maslahi, bali na migongano ndani yake.

JE, WATU WANA HAJA NA MITUME?_njia ya saada

Katika hali hiyo wanachokiona baadhi ya watu kuwa ni kizuri na wema wengine wanaweza kukiona kuwa kibovu, bali hata mtu mmoja anaweza kubadilika rai yake kwa kubadilika kwa zama na mahali, pamoja na kuwa akili hizo haziwezi kudiriki kilichojificha katika hali halisi katika elimu mbali mbali, kadhalika hawezi kudiriki muradi wa Muumba, maamrisho yake na makatazo yake, mbali na kuwa mwanadamu hawezi kupokea kutoka kwa Allah moja kwa moja, Allah amesema: “Na haikuwa kwa mwanaadamu kwamba Mwenyezi Mungu amsemeze ila kwa Wahyi (Ufunuo), au kwa nyuma ya pazia, au kumtuma Mjumbe.

Naye humfunulia ayatakayo kwa idhini yake. Hakika Yeye ni Mtukufu, Mwenye hikima. ” (42:51) Neema tukufu. Nguzo za swaumu na ya kuharibu swaumu- Al-feqh. Nguzo za swaumu NGUZO YA KWANZA: Ni kujizuia kufanya mambo yatakayo Haribu swaumu kuanzia kutokeza kwa alfajiri hadi kuzama kwa jua kwa kuingia jioni Dalili ni kauli yake Mwenyezi Mungu U: {…Na kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu weupe wa alfajiri katika weusi wa usiku.

Kisha timizeni saumu mpaka usiku…} (Al-Baqarah- Aya 187). NGUZO YA PILI: Ni kutia nia ya Kufunga. Fadhla za Swaumu na Hukumu zake- Al-feqh. Maana ya swaumu Ni kujizuia na kujiepusha kufanya jambo fulani. Ni kufanya ibada kwa ajili ya Mwenyezi Mungu U kwa kujizuia kula, kunywa na kufanya tendo la ndoa kuanzia kutokeza kwa alfajiri hadi kutwa kwa Jua. Fadhla za swaumu Asema Mwenyezi Mungu { Enyi mlo Amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andkikwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kucha mungu. Kufunga katika Uislamu. Uhakikisho Wa Kuvunjika Wudhuu Katika Swalah- utwahara. JIBU: Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.

Shukrani zetu za dhati kwa swali lako. Hakika ni kuwa hakuna utata wowote kuhusu kutokwa na upepo kwani sehemu ya kutokwa na upepo huo unafahamika. Ipo sehemu moja pekee ambapo upepo unapotoka basi wudhuu huwa umetenguka (umevunjika). Sehemu hiyo ni ya nyuma ambapo upepo unapotoka inabidi mtu achukue wudhuu upya. Kuna wakati mwingine sauti inasikika tumboni mwa Muislamu lakini kusikika huko hakuna wasiwasi wowote naye anaweza kuendelea na Swalah yake. Kuhudhuria Darsa Msikitini Wanawake Wenye Hedhi- utwahara. JIBU: Wanachuoni wengi wamekubaliana kuwa kupita msikitini kwa dharura kunakubalika. Na wengine wameonelea mwanamke mwalimu au mwenye kusoma (mwanafunzi) anaweza kuhudhuria madarasa hayo kwa sababu asipoteze ile elimu kwa wanaoihitaji, na kwa mwenye kusoma ili asisahahu au kupitwa na mafunzo muhimu kwa sharti tu awe amejistiri vizuri ili asichafue msikiti. Wanaopinga mwanamke kuingia msikitini na wakaruhusu tu kupita kwa dharura, wanatoa hoja ya Aayah hii: يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ لاَ تَقْرَبُواْ الصَّلاَةَ وَأَنتُمْ سُكَارَى حَتَّىَ تَعْلَمُواْ مَا تَقُولُونَ وَلاَ جُنُبًا إِلاَّ عَابِرِي سَبِيلٍ حَتَّىَ تَغْتَسِلُواْ {{Enyi mlio amini!

Msikaribie Swalah, hali mmelewa, mpaka myajue mnayoyasema, wala hali mna janaba - isipo kuwa mmo safarini - mpaka mkoge...}} Viungo Vipi Vinne Vya Mwanamke Vilivyokusudiwa Kwenye Jimai Ni Vipi, Na Kwa Nini Ni Hivyo Tu?- utwahara. Mwanamke Akitokwa Na Majimaji, Je, Aoge Janaba?- utwahara. Mas-hul-Khuffayn - Kufanya Wudhuu Juu Ya Soksi Au Viatu- utwahara. Zaka ya bidhaa za biashara-zaka katika uislamu. Zaaka ya pesa(Dhahabu na Fedha)-al-fiqhi_zaka katika uislamu. Zaaka ya (vitu) vinavyotoka ndani ya ardhi-Al-feqh_zaka katika uislamu. Zaka hukumu yake na masharti yake -Al-feqh_zaka katika uislamu. Zakat katika islam. UKWELI WA UTUME NA UJUMBE WAKE- Njia ya saada " MISINGI YA UWEKAJI SHERIA- Njia ya saada. Kisa cha nabii nuuh-Njia ya saada.

Kisa cha mtume musa ('Alayhi salaam)- Njia ya saada. MAANA YA FURAHA NA HAKIKA ZAKE-tovuti Njia ya saada. Kuvaa Kofia Ndani Ya Swalaah Au Nje Ni Sunnah?- swalah. Wakati Wa Swalah Ya Tahajjud Na Vipi Kuswali- hijja. Uhalali Wa Swawm Wa Aliyeoga Ghuslu Ya Hedhi Na Kufunga Siku Hiyo Hiyo- utwahara. Fatwas-fataawa za kiislamu. MATUNDA YA IMANI. Fadhila za (laailaha ila Allah) Athari za kuamini majina na sifa zake Allah kwa mja. HOJA JUU YA KUWEPO KWA ARRABU.

MaaNa ya: {Na Mwenyezi Mungu aNa majiNa mazuri mazuri} Kuvaa Kofia Ndani Ya Swalaah Au Nje Ni Sunnah?- swalah. Kusafisha Meno Kwa Dawa Kunabatilisha Swawm?- saumu. Du#039;aa Katika Swalaah Za Sunnah Inafaa Kusomwa Kwa Lugha Nyengine Na Kimoyoni?- swalah. Inafaa Kusoma Qur-aan Kwa Kutazama Mus-haf Katika Swalaah Za Sunnah? - swalah. Hukmu Ya Kujichora Mwili Tattoo – Swalaah Inakubaliwa? Afanyeje Baada ya Kutubu Nayo Haitoki?- swalah. Imaam Ibn Baaz - Hukmu Ya Swalaah Ya Mwenye Mashaka Kuwa Katokwa Na Upepo- swalah. Imaam Ibn Baaz - Kula Mirungi Na Kuhusiana Na Swalaah- swalah. Nusuk na Talbiya na sehemu ya ibada ya hijja - feqh. Namna ya kuhiji na kufanya Umra-sehemu ya ibada ya hijja. Nguzo, Wajibu na Sunna za Hija_ sehemu ya ibada ya hijja. mNguzo, Wajibu na Sunna za Umra_ sehemu ya ibada ya hijja -feqh. Makka na sehemu ya ibada ya hijja -feqh. Hukumu za Hija na Umra_ sehemu ya ibada ya hijja-feqh. Nyakati (mawaaqiit)_ sehemu ya ibada ya hijja -hijja katika uislamu.

Kuhirimia_ sehemu ya ibada ya hijja-feqh. اسلام میں طہارت. ارکان اسلام ،عبادات کی با تصویر فقہ - الفقہ. KUKANUSHA ALLAH NA HATARI ZAKE. Maana ya Al-ilah ( mwenye kuabudiwa) Fadhila za (laailaha ila Allah) Athari za kuamini majina na sifa zake Allah kwa mja. MATUNDA YA IMANI. Umuhimu wa kuyatambua majina ya Allah na sifa zake. HOJA JUU YA KUWEPO KWA ARRABU. MaaNa ya: {Na Mwenyezi Mungu aNa majiNa mazuri mazuri} Sehemu ya Ibada _ SIKU YA IJUMA NA HUKMU ZAKE. Sehemu ya Imani. Sehemu ya Ibada _ UMUHIMU WA SWALA. ፍድያ (ቤዛ) እና ሀድይ. የአላህ ስሞችና ባሕሪያት. የአላህ ስሞችና ባሕሪያት. የአላህ ስሞችና ባሕሪያት. የሐጅ (ዑምራ) አፈጻጸምና ተልቢያ. የአላህ ስሞችና ባሕሪያት. የአላህ ስሞችና ባሕሪያት. የአላህ ስሞችና ባሕሪያት. የአላህ ስሞችና ባሕሪያት. የአላህ ስሞችና ባሕሪያት. የአላህ ስሞችና ባሕሪያት. በሥዕል የተደገፈ የዕባዳዎች አፈጻጸም ፍቅህ. احکام نجاسات وپليديها. خلوص در اسلام. فقه مصورعبادات. Sehemu ya Ibada _ UMUHIMU WA SWALA. Sehemu ya Tabia _ TABIA YA RUHUMA. Restore Session. MINBARI YA ULIMWENGU_Sehemu ya Imani_Sehemu ya Jamii.