background preloader

Kingdomi

Facebook Twitter

Islam Kingdom

அழகிய நன்றிக்கடன் இஸ்லாமும் பயங்கரவாதமும் Swala ya Sunna- swalah katika uislamu. Maana ya Swala ya Sunna (kujitolea) Swalah iliyowekwa na Sheria isiyokuwa ya lazima Fadhla za Swalah ya Sunnah 1.

Swala ya Sunna- swalah katika uislamu

Swala ya sunna ni sababu ya mja kupendwa na Mwenyezi Mungu. Imekuja kwenye hadithi Alqudusiy kwamba Mwenyezi Mungu Aliyetukuka ansema: (Haachi mja wangu kuendelea kujikurubisha kwangu kwa sunna mpaka nimpende, na ninapompenda nitakuwa ni masikizi yake ya kusikia na maangalizi yake ya kuonea na mkono wake wa kushikia na mguu wake wa kuendea, na akiniomba nitampa, na akijilinda kwangu nitamlinda) [Imepokewa na Bukhari.] NAMNA YA kutawadha(Udhu)- Al-fiqhi_mlango wa twahara. Maana ya Kutawadha Uzuri na usafi Kutumia maji kwenye viungo maalumu kwa nia ya kujitwahirisha Hukumu ya kutawadha Kutawadha: ima ni lazima na ima inapendekezwa: a.

NAMNA YA kutawadha(Udhu)- Al-fiqhi_mlango wa twahara

Zaka-Sadaka ya kujitolea (isiyo ya lazima)- Al-fiqhi. Maana ya sadaka ya kujitolea Ni kinachotolewa kwa lengo la kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu pasina kuwa ni lazima.

zaka-Sadaka ya kujitolea (isiyo ya lazima)- Al-fiqhi

Na kwa maana hii inatolewa zawadi na mfano wake kuwa ni katika mambo yanayotolewa kwa lengo la kuzidisha mapenzi, hivyo basi vitu hivi haviingii katika vinavyoitwa sadaka maalumu zilizowekwa na hukumu za sheria. RIWAYA SHAKA YA KUSALITIWA_ simulia ya njia ya saada. Siku hiyo Katarina hakukesha Kanisani kama kawaida yake bali alikaa nyumbani akimsubiri Joji arudi. Si kawaida ya Joji kuchelewa kama leo. Mara Joji alipofika, Katarina alimpokea mlangoni na akamwuliza kwa nini kachelewa. Kisa cha nabii nuuh-Njia ya saada. Kaumu ya Nuhu Watu wake hapo kabla walikuwa ni waumini, wakimuabudu Allah peke yake, wakiamini Siku ya Mwisho, na wakifanya mambo mema, watu wale akafa, watu wakahuzunika kwa wema wao na tabia zao njema wakatengeneza picha zao (Wakawapa majina yafuatayo: Wadda, Yaaghutha,Yaa’uqa, Nasra, watu wakavutika na picha zile na…) wakafanya ndio alama za wale watu wema waliokufa miongoni mwao, watu wa mjini wakatukuza picha zile, wakikusudia kuwatukuza wafu wale muda ukapita wale watu wazima wakafa na kubaki watoto na kuwa wakubwa, wakawa wanaongezea namna mbali mbali za kutukuza, na kunyenyekea mbele zao, picha na sura zile zikawa na nafasi kubwa katika mioyo ya watu wale, ama kizazi cha pili kilichofuatia wakawa wamejiwekea sheria ya kuabudu sura zile na kusema kuwa ile ni miungu inabidi wayasujudie na kunyenyekea mbele yake; wakawa wanayaabudu, wengi wakapotea kwa kufanya hivyo.

Wakamkadhibisha, na hawakumkubali, akawaonya na kuwatahadharisha adhabu ya Allah Ta’ala. Kisa cha mtume musa ('Alayhi salaam)- Njia ya saada. Kuuliwa kwa watoto wa kaumu ya Musa Bani Israil walikuwa wakisomeshana wenyewe kuhusiana na Mtume Ibrahim (‘Alahyi Salaam) kuwa katika kizazi chake atatoka kijana ambae mfalme wa Misri ataangamia kwa mikono yake, utabiri huu ulikuwa ni maarufu kwa Bani Israil. Habari zile zikafika kwa Firauni na maamiri wake walimueleza habari hiyo, hivyo kuamuru kuuwawa kwa wavulana wa Bani Israil kwa kutahadhari na kuwepo kwa kijana huyo. UISLAMU NA ELIMU - Njia ya saada. Uislamu ni dini ya elimu na maarifa Hapana shaka kuwa Njia ya Furaha hapana budi kupita katika njia za elimu na ustaarabu, haiwezekani kwa hali yoyote kupita katika mabonde ya ujinga, na haipatikani dini wala fikra ambayo imenyanyua hadhi ya wanazuoni na kuheshimu miamala yao na kuhimiza kutafuta elimu na kuitumia akili na kulingania katika mazingatio na kufikiria kama mfano wa dini ya Uislamu aliokuja nao Mtume Muhammad (Swala Llahu ‘alayhi wasallam) ambae alijenga ustaarabu mkubwa ulioenea mashariki ya ardhi na magharibi yake.

UISLAMU NA ELIMU - Njia ya saada

Kwa hali hiyo kutumwa kwake Swala Llahu ‘alayhi wasallam kunahesabiwa kuwa ni mapinduzi ya kweli ya kielimu katika mazingira ambayo roho ya kielimu imeyazoea, Kwa hiyo Uislamu ukaja ili elimu ianze, na dunia ing’are kwa nuru ya uongofu wa Mwenyezi Mungu, Akasema Aliyetukuka: “Je, wao wanataka hukumu za Kijahiliya? Na nani aliye mwema zaidi katika kuhukumu kuliko Mwenyezi Mungu kwa watu wenye yakini?” Kisa cha mtume musa ('Alayhi salaam)- Njia ya saada. Kisa cha mtume musa ('Alayhi salaam)- Njia ya saada. Vishahidi_njia ya saada. Watu wote wanatafuta furaha, njia iko wapi?! Njia ya saada. Watu wote wanatafuta furaha, njia iko wapi?! Wameafikiana katika lengo moja Benjamin Disraeli Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza.

Je, ni Njia ya Kumkana Mungu au Njia ya Dini?-Njia ya saada. Ni nani muumba?

Je, ni Njia ya Kumkana Mungu au Njia ya Dini?-Njia ya saada

Lewis Carroll Mwana Hisabati Njia zimekuwa nyingi Mungu ni mmoja “Ikiwa hujui unakwenda wapi, basi njia zote zitakupeleka huko.” Watu huanza kufikiria kujibu maswali yaliyotangulia, kuna njia mbili; Njia. Dalili za Rububiya(kuwepo MwenyeEzzi Mungu)_Njia ya saada. Mzuri wa Kuumba -Je, huoni Ulimwengu huu Mkubwa na yaliyomo katika mbingu na ardhi?!

Dalili za Rububiya(kuwepo MwenyeEzzi Mungu)_Njia ya saada

-Je, umefikiria hata siku moja kuhusu Uumbaji wa mbingu na yaliyomo katika sayari?! Watu wote wanatafuta furaha, njia iko wapi?! Njia ya saada. Watu wote wanatafuta furaha, njia iko wapi?! Njia ya saada. Vishahidi_njia ya saada. Mijadala ya saada(furaha) Mijadala ya saada(furaha) Njia ya saada. Njia yenye kufikisha kwenye furaha. Ҳайз ва истиҳоза ва нифос. নামাজ আদায় করার সঠিক নিয়ম - al-feqh. নামাজ আদায় করার সঠিক নিয়ম - al-feqh. তায়াম্মুম কি, কখন এবং কিভাবে? - al-feqh. জানাজার নামাজের নিয়ম ও গুরুত্বপূর্ণ কিছু মাসায়েল - al-feqh. Фиқҳи мусаввари ибодот.

Фиқҳи мусаввари ибодот. Фиқҳи мусаввари ибодот. Фиқҳи мусаввари ибодот. Nguzo za Swalah na Wajibu wake na Sunnah zake- Al-fiqhi. Ni sehemu zake za kimsingi ambazo Swala inatokana nazo, kwa namna isiyofaa kuziacha kwa hali yoyote ile.

Nguzo za Swalah na Wajibu wake na Sunnah zake- Al-fiqhi

Hazipomoki kwa kukusudia wala kwa kusahau isipokuwa katika hali ya kutoweza. 1. Kutia nia 2. Kusimama katika swala ya faradhi pamoja na kuweza. Фиқҳи мусаввари ибодот. Namna ya kuswali swala ya ijumaa- Al-fiqhi. Hukumu ya Swalah ya Ijumaa Swalah ya Ijumaa ni wajibu kwa kila Muislamu, aliyebaleghe, asiye na udhuru wa kuiacha.

namna ya kuswali swala ya ijumaa- Al-fiqhi

Dalili ya hilo: 1. Neno la Aliyetukuka: {Enyi mlioamini! Kukinadiwa Swala kwa siku ya Ijumaa, endeni kwa haraka kwenye utajo wa Mwenyezi Mungu, na muache biashara} [62: 9]. صلاة التطوع – صلاة النوافل - فقه العبادات المصور. كيفية صلاة الجنازة وأحكامها في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور. أركان الصلاة وواجباتها وسننها في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور. أركان الصلاة وواجباتها وسننها في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور. كيفية الوضوء الصحيح ونواقضه، فقه الطهارة - فقه العبادات المصور. كيفية سجود السهو والشكر والتلاوة في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور. أحكام الصلاة وكيفيتها وأهميتها في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور. كيفية أداء صلاة الجمعة وفضلها وخطبتها وأحكامها - فقه العبادات المصور. كيفية صلاة الاستسقاء وأحكامها في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور.

كيفية صلاة الجنازة وأحكامها في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور. صلاة التطوع – صلاة النوافل - فقه العبادات المصور. أحكام الصلاة وكيفيتها وأهميتها في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور. كيفية أداء صلاة الجمعة وفضلها وخطبتها وأحكامها - فقه العبادات المصور. كيفية الوضوء الصحيح ونواقضه، فقه الطهارة - فقه العبادات المصور. كيفية سجود السهو والشكر والتلاوة في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور. كيفية صلاة الجنازة وأحكامها في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور. صلاة التطوع – صلاة النوافل - فقه العبادات المصور. Umuhimu wa kuyatambua majina ya Allah na sifa zake.

Maana ya Al-ilah ( mwenye kuabudiwa) Maana ya Al-ilah ( mwenye kuabudiwa) MTAMBUE ALLAH AMBAYE HAKUNA APASWAYE KUABUDIWA KWA HAKI ISIPOKUWA YEYE. KUKANUSHA ALLAH NA HATARI ZAKE. Athari za tawhiid Arrububiya ya Uungu kwa mja mwenyekumpwekesha Allah. Athari za tawhiid Arrububiya ya Uungu kwa mja mwenyekumpwekesha Allah. HOJA JUU YA KUWEPO KWA ARRABU. Maana ya (arrabu) Mola Mlezi. Kuamini kukutana na Allah. Athari za Majina ya Allah katika ulimwenguni. MaaNa ya: {Na Mwenyezi Mungu aNa majiNa mazuri mazuri} Fadhila za (laailaha ila Allah) MATUNDA YA IMANI. Fadhila za (laailaha ila Allah) Allah ni Mrithi. Allah ni Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha Mwenyewe mambo yake, كيفية سجود السهو والشكر والتلاوة في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور. كيفية الوضوء الصحيح ونواقضه، فقه الطهارة - فقه العبادات المصور. أركان الصلاة وواجباتها وسننها في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور. كيفية صلاة الاستسقاء وأحكامها في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور.

كيفية صلاة الجنازة وأحكامها في فقه الصلاة - فقه العبادات المصور. Maana ya ikhlasi( kumtakasia Allah ibada) Khitamu: wito kwa imani ya kweli_katika uislamu. Allah Mwenye kupokea maombi ya waja wake. Allah Mwenye msamaha Mwingi wa kusamehe anaye samehe sana. MaaNa ya: {Na Mwenyezi Mungu aNa majiNa mazuri mazuri} HAJA YA WAJA MAFUKARA KWA MOLA WAO MKWASI. Allah Aliye juu ya walio juu Aliyetukuka. MTAMBUE ALLAH AMBAYE HAKUNA APASWAYE KUABUDIWA KWA HAKI ISIPOKUWA YEYE. Maana ya ikhlasi( kumtakasia Allah ibada) Kunapojifita kumuamini Allah. Sijida ya kusahau, kushukuru na kisomo-swalah katika uislamu.

Namna ya kuswali- swalah katika uislamu. Maana Ya Janaba, Na Kuoga Janaba Kwa Asiyeoa- utwahara. Zaaka ya (vitu) vinavyotoka ndani ya ardhi-Al-feqh_zaka katika uislamu. Zaka ya bidhaa za biashara-zaka katika uislamu. Aina nyengine za zaka-zaka katika uislamu. Masharti ya kufanya Swala iwe sahihi- Al-fiqhi. Adhana na Ikama-swalah katika uislamu. Swalah katika uislamu. Swalah katika uislamu. Namna ya kuswali- swalah katika uislamu. Usafishaji katika uislamu. Swalah katika uislamu. NAMNA YA Kuoga- Al-fiqhi_mlango wa twahara. Kupangusa Khofu mbili, Soksi mbili, mlango wa twahara. NAMNA YA kutawadha(Udhu)- Al-fiqhi_mlango wa twahara. Kupiga Mswaki Kwa Mkaa- utwahara.